Post: Huduma za afya kuimarishwa katika Hospitali ya Elburgon

Waziri wa Afya katika kaunti ya Nakuru Roselyn Mungai amesema kuwa serikali ya kaunti imeweka mipangilio kabambe kuhakikisha kuwa huduma za afya katika hospitali ya Elburgon zinaimarishwa.Akizungumza wakati wa ziara yake katika hospitali hii alipofanya mkutano pamoja na bodi ya usimamizi, Mungai alisema kuwa mipango hii inayonuia kuanza kutekelezwa baada ya mwezi mmoja italeta ongezeko la wateja wanaohudumiwa mjini Elburgon na hata maeneo jirani kwa mara mbili zaidi.Ili kufanikisha juhudi hii, waziri alisema kuwa tayari ununuzi wa vifaa muhimu vya matibabu unaendelea na vitawezesha pia kuboresha miundombinu muhimu hospitalini kama vile katika chumba cha kujifungulia cha akina mama, chumba cha upasuaji, picha baadhi ya maeneo mengine pia.Aidha, Mungai alisalia na imani kuwa ikiwa hatua hizi zitatekelezwa, basi bila shaka changamoto nyingi zitaweza kushughulikiwa akiwaomba wafanyikazi mahala pale kuendelea kuyasikiliza matakwa ya wakaazi katika utoaji huduma bora ya afya ili wawe katika mstari wa mbele k uwahudumia vilivyo.Kwa muda, hospitali hii imekuwa na uwezo wa kushughulikia wagonjwa 3,000 kwa siku.Source: Kenya News Agency

Egg Medical annonce une nouvelle ère dans la sécurité en salle de fluoroscopie à la suite d’une déclaration de consensus conjointe

Tandis que les principales sociétés médicales demandent l’adoption obligatoire de dispositifs de protection contre les rayonnements (ERPD), le système EggNest® Complete s’impose comme la solution définitive de protection de tous les membres de l’équipe médicale MINNEAPOLIS, 23 juill. 2026 (GLOBE NEWSWIRE) — Egg Medical, leader mondial dans le domaine de la radioprotection, a annoncé son […]

Tunisia Battles Three Active Forest Fires Amid Heatwave

Tunis: Tunisia recorded 90 forest fires between July 11 and July 22, according to Khalil Mechri, Head of Operations and Monitoring at the National Civil Protection Office’s Operations Department. Speaking at a press conference on Wednesday, Mechri sai…