Post: Huduma za afya kuimarishwa katika Hospitali ya Elburgon

Waziri wa Afya katika kaunti ya Nakuru Roselyn Mungai amesema kuwa serikali ya kaunti imeweka mipangilio kabambe kuhakikisha kuwa huduma za afya katika hospitali ya Elburgon zinaimarishwa.Akizungumza wakati wa ziara yake katika hospitali hii alipofanya mkutano pamoja na bodi ya usimamizi, Mungai alisema kuwa mipango hii inayonuia kuanza kutekelezwa baada ya mwezi mmoja italeta ongezeko la wateja wanaohudumiwa mjini Elburgon na hata maeneo jirani kwa mara mbili zaidi.Ili kufanikisha juhudi hii, waziri alisema kuwa tayari ununuzi wa vifaa muhimu vya matibabu unaendelea na vitawezesha pia kuboresha miundombinu muhimu hospitalini kama vile katika chumba cha kujifungulia cha akina mama, chumba cha upasuaji, picha baadhi ya maeneo mengine pia.Aidha, Mungai alisalia na imani kuwa ikiwa hatua hizi zitatekelezwa, basi bila shaka changamoto nyingi zitaweza kushughulikiwa akiwaomba wafanyikazi mahala pale kuendelea kuyasikiliza matakwa ya wakaazi katika utoaji huduma bora ya afya ili wawe katika mstari wa mbele k uwahudumia vilivyo.Kwa muda, hospitali hii imekuwa na uwezo wa kushughulikia wagonjwa 3,000 kwa siku.Source: Kenya News Agency

Athletes From Africa Push For Winter Olympics Inclusion

Bormio: Six Olympic skiers joined by their parents, coaches, and federation presidents came together on Sunday to advocate for more inclusion at the Winter Games. Representing Jamaica, Kenya, Eritrea, Madagascar, South Africa, and Benin, the group gat…

Terrorist Cell Neutralized Near Majel Bel Abbes Delegation

Kasserine: Security forces successfully eliminated a terrorist cell composed of four individuals near the delegation of Majel Bel Abbes, within the Kasserine governorate, as part of an ongoing operation. This operation, carried out on Thursday, comes …

Head of State Visits Families of Moknine Flood Victims

Moknine: President of the Republic Kais Saied paid a visit on Tuesday evening to the town of Moknine in the governorate of Monastir, which is mourning the death of four residents following the floods that struck the region.

According to Agence Tunis …