Post: Jamii Za Wafugaji Wahimizwa Kuasi Mila Potovu

Wakazi katika Kaunti ya Pokot Magharibi wanazidi kuhimizwa kuasi mila potovu ya ukeketaji na kuwaoza wanao wasichana mapema na badala yake kuwaelimisha kwa manufaa ya baadaye.Shirika la Kyle Gabriel Foundation kupitia mradi wa IMARIKA wameweza kuwaelimisha wakazi wa kijiji cha Chepukat na Chesra katika wadi ya Chepareria kuhusu madhara ya ukeketaji na umuhimu wa kupeleka mtoto wa kike shule.Kulingana na Emily Laktabai,wana programu kadhaa mojawapo ikiwa kuwainua kina mama katika makundi tofauti tofauti, kutoa hamasisho katika jamii ya wafugaji kuhusu shida ambazo mtoto wa kike anapitia wakati anapitishwa katika ukeketaji na ndoa za mapema.'Tumekuja kuelimisha jamii ya wafugaji athari za ukeketaji pamoja na ndoa za mapema kwa mtoto wa kike,'' Laktabai alisema.Shirika hilo limelenga kuleta mbinu na jinsi jamii inaweza kukataa mila hizi na kuhakikisha kwamba mtoto msichana anapata nafasi sawa na yule wa kiume shuleni akisema kuwa masomo yanaleta mabadiliko makubwa katika jamii.Aidha wamehimiza jamii kw a jumla wageukie kuwapeleka wanao shuleni ikiwa wanatamani watoto wao wapate nafasi nzuri za kazi siku za usoni.'Tungependa kuhimiza wale ambao bado wanaendesha mila hizi potovu wageukie kuwapeleka wanao shuleni na ninaamini kupitia masomo watoto hao watafaulu,'' Laktabai alisisitiza.Kwa upande wake Mercy Kiyapyap mkazi katika kaunti hio amerai wazazi na vijana wajiunge katika kufanya kampeni za Kupiga vita ukeketaji na ndoa za mapema pamoja na kuwapa watoto fursa ya kwenda shuleni.Vilevile ameomba serikali kuingilia kati katika kuwasaka wale watoto ambao wanatoka katika familia zisizojiweza ili wasikose nafasi ya kusoma kwa sababu ya umaskini.'Tunaomba pia serikali ijitokeze katika kuwatafuta watoto ambao wanatoka familia maskini ili tuhakikishe kwamba hakuna mtoto anabaki nyumbani kwa sababu ya umaskini,' alisema kiyapyap.Kwa upande wake Chifu, Laurence Menach alisema kuwa wamekuwa katika safari kila uchao katika kuelimisha jamii kuhusu athari za ukeketaji na ndoa za mapema.Wenyeji vilevile wame toa shukrani zao kwa shirika hilo wakisema wanaamini kuwa mafunzo hayo yatazaa matunda.Aidha waliomba shirika hilo kuwajengea bweni katika shule ya wasichana ya Chepukat wakiamini kuwa mikakati kama hio itasaidia pakubwa katika kuzuia ukeketaji na ndoa za mapema.Source: Kenya News Agency

Jetex Announces Opening in Sofia

Jetex Sofia is anticipated to welcome its first guests in Q4 2026. Dubai, Aug. 24, 2026 (GLOBE NEWSWIRE) — Jetex, the world’s leading luxury lifestyle brand, and SOF Connect have signed an agreement to develop and operate a VIP lounge at Vasil Levski Sofia Airport, the main international airport of Bulgaria and the sixth-largest international […]

SOUEAST Showcases S08 DM at Egypt’s North Coast Roadshow

ALAMEIN, Egypt, Aug. 14, 2026 (GLOBE NEWSWIRE) — Stretching from the vibrant Seashell North Coast to the exclusive Mountain View Ras El Hekma, Egypt’s North Coast is known as the “Pearl of the Mediterranean,” attracting visitors from around the world. As SOUEAST celebrates its first anniversary in the Egyptian market, the brand has kicked off […]

SOUEAST Showcases S08 DM at Egypt’s North Coast Roadshow

ALAMEIN, Egypt, Aug. 14, 2026 (GLOBE NEWSWIRE) — Stretching from the vibrant Seashell North Coast to the exclusive Mountain View Ras El Hekma, Egypt’s North Coast is known as the “Pearl of the Mediterranean,” attracting visitors from around the world. As SOUEAST celebrates its first anniversary in the Egyptian market, the brand has kicked off […]

iHerb célèbre 30 ans à rendre la santé et le bien-être accessibles avec une grande opération promotionnelle mondiale

Cette campagne anniversaire propose d’importantes réductions sur plus de 600 marques, tandis qu’iHerb étend sa plateforme d’achat à 46 langues, reflet de la demande mondiale croissante pour les produits de santé et de bien-être IRVINE, Californie, 13 août 2026 (GLOBE NEWSWIRE) — iHerb, l’un des principaux détaillants en ligne de vitamines, minéraux, compléments alimentaires et […]

Nominations to Key Positions Announced by the White House

Washington: Leslie Becera from Virginia has been nominated to serve as an Assistant Secretary of Transportation, while Justin Bytheway from Utah has been nominated to become Ambassador Extraordinary and Plenipotentiary to the Kingdom of Tonga.

Accor…